iddynonga (@iddynonga) | FoxDeo - Just new begin
iddynonga

Iddynonga

@iddynonga Creator
Using Foxdeo lets you instantly share your texts and pictures with the world! Join us for free

Iddynonga Updates

  • 📣 Sponsored by:
    📢 Sponsored by:
  • Simba wameifunga nje ndani Vipers ambao ndio mabingwa wa ligi ya Uganda,wamewafunga Wydad ambao ni mabingwa watetezi wa klabu bingwa Afrika,pia Simba sports wameinyoa Yanga ambao pia ndio mabingwa wa ligi yetu, Simba wana balaaa !!.....
    Simba wameifunga nje ndani Vipers ambao ndio mabingwa wa ligi ya Uganda,wamewafunga Wydad ambao ni mabingwa watetezi wa klabu bingwa Afrika,pia Simba sports wameinyoa Yanga ambao pia ndio mabingwa wa ligi yetu, Simba wana balaaa !!.....
    Comments 0
  • 📣 Adsence2 Sponsored by:
    📢 Sponsored by:
  • SIMBA WAPEWE MAMELODI?Kuna nafasi kubwa kwa WYDAD,MAMELODI na ESPERANCE moja ya timu hizo ikapangwa na Simba kwenye hatua ya robo fainali baada ya kupigwa droo ya hatua ya ligi ya mabingwa,wewe unaona bora kukutana na timu ipi kati ya hizo,na kwa nin
    SIMBA WAPEWE MAMELODI?Kuna nafasi kubwa kwa WYDAD,MAMELODI na ESPERANCE moja ya timu hizo ikapangwa na Simba kwenye hatua ya robo fainali baada ya kupigwa droo ya hatua ya ligi ya mabingwa,wewe unaona bora kukutana na timu ipi kati ya hizo,na kwa nin
    Comments 0
  • اجتاحت مواقع التواصل الاجتماعي خلال الأيام الأخيرة حملة شعبية تحت وسم "ماغنصوتش على الأحرار"، دعا من خلالها نشطاء إلى مقاطع.ة التصويت على حزب التجمع الوطني للأحرار في الاستحقاقات المقبلة. ويبرر المشاركون في الحملة الرقمية موقفهم بسبب ما عاشه المغاربة
    اجتاحت مواقع التواصل الاجتماعي خلال الأيام الأخيرة حملة شعبية تحت وسم 'ماغنصوتش على الأحرار'، دعا من خلالها نشطاء إلى مقاطعة التصويت على حزب التجمع الوطني للأحرار في الاستحقاقات المقبلة. ويبرر المشاركون في الحملة الرقمية موقفهم بسبب ما عاشه المغاربة
    📢 Sponsored by: Comments 0
  • KWANINI SIO KWAKE?Mwaka jana wakati Msuva akiwa kwenye mgogoro mzito wa mkataba na Wydad aliitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa, kwa wakati huu kama kocha ataona kuna haja ya kumtimua itabidi tu amuite,taifa halina kiungo kama Fei,tangu awe nje ya u
    KWANINI SIO KWAKE?Mwaka jana wakati Msuva akiwa kwenye mgogoro mzito wa mkataba na Wydad aliitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa, kwa wakati huu kama kocha ataona kuna haja ya kumtimua itabidi tu amuite,taifa halina kiungo kama Fei,tangu awe nje ya u
    Comments 0
1